Monday, September 8, 2014

YALIYOJIRI MAHAKAMA YA MWANZO KINONDONI LEO


Watuhumiwa wakishushwa kwenye gari la Jeshi la Magereza, tayari kwa kusomewa kesi zao mahakamani.
Mmoja wa watuhumiwa  akiwa amebebwa na watuhumiwa wenzake kuingizwa mahakamani, haikujulikana mara moja sababu za kubebwa huko kwani askari walikataza kuwasogelea.

MWANDISHI wa mtandao huu, leo alinasa matukio kadhaa katika Mahakama ya Mwanzo ya Kinondoni, ambapo alishuhudia watuhumiwa  wa makosa  mbalimbali  wakiingizwa mahakamani hapo kwa ajili ya kusomewa mashitaka yao.

No comments:

Post a Comment